1 Kings 8:65

65Hivyo Sulemani akaiadhimisha sikukuu kwa wakati ule, na Israeli wote pamoja naye. Walikuwa kusanyiko kubwa sana, watu kutoka Lebo-Hamathi hadi Kijito cha Misri. Wakaiadhimisha mbele za Bwana Mwenyezi Mungu wetu kwa siku saba na siku saba zaidi, yaani, jumla siku kumi na nne.
Copyright information for SwhKC